Alhamisi, 30 Agosti 2012

MKUU WA POLISI WA WILAYA YA GEITA AWEKWA RUMANDE KWA RUSHWA.

Kamanda Msangi Salum kushoto akikagua chumba cha hotel cha Dk. Slaa.(Picha na Maktaba)
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Salum Msangi amemsweka rumande Mkuu wa Polisi Wilaya ya Bariadi (OCD) na Mkuu wa Kituo cha Polisi Bariadi (OCS), kwa tuhuma za rushwa.Wakati hayo yakitokea, jeshi hilo limezidi kuandamwa na kashfa baada ya baadhi ya askari wake kudaiwa kumpiga Kadogoo Kalanga (16), hadi kulazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU).

Katika tukio la Simiyu, Kamanda Msangi anawashikilia maofisa hao kutokana na madai ya kuomba rushwa ya Sh3.5 milioni kutoka kwa mtuhumiwa kwa kisingizio RPC huyo ndiye aliyewatuma.

Taarifa zilizopatikana jana na kuthibitishwa na Kamanda Msangi, zimeeleza kuwa tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita saa 6:00 mchana, ambapo maofisa hao walimkamata mtu anayetuhumiwa kufanya ujambazi kwa kutumia silaha na kumtaka awape fedha hiyo ili wamwachie.

Alisema maofisa hao wamechukuliwa hatua ili iwe fundisho kwa wengine ambao wanafanya kazi kwa mazoea na kulipaka matope jeshi hilo.

Akisimulia tukio hilo, Kamanda Msangi alisema: “Maofisa hao wakiwa kazini waliarifiwa kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo… (jina tunalo) ambaye ni mfanyakazi wa Mgodi wa Barrick North Mara, akihusishwa na jambazi sugu aliyekuwa akitafutwa kwa kuhusika na tukio la uporaji dhahabu katika Mgodi wa Geita.

“Mtu huyo alipokamatwa, ofisi yangu iliarifiwa na kuanza  kufanya taratibu za kuwasiliana na watu wa Geita na maeneo mengine ili kubaini kama mhusika ndiye mtuhumiwa sahihi, ila kabla ya kukamilika kwa uchunguzi aliachiwa.”
Alisema kitendo hicho kilimkera na kuamuru mtuhumiwa huyo atafutwe tena.
Alisema baada ya kuwaagiza maofisa hao wamtafute mtuhumiwa, walipompata walimtaka awape kiasi hicho cha fedha na kumweleza kuwa wametumwa na RPC.

Alisema ndugu wa mtuhumiwa huyo baada ya kuona wameombwa kiasi kikubwa cha fedha, walikwenda katika ofisi za RPC na kumweleza nia ya maofisa hao hali iliyomfanya aanze kuweka mitego ya kuwanasa.

Alisema atahakikisha anasafisha idara zote za polisi mkoani humo hususan wenye tabia ya kuwabambikizia watu kesi.
“Huo ndiyo msimamo wangu. Haiwezekani watu wafanye wanavyojisikia halafu tukae kimya wakati wanalipaka matope jeshi la polisi. Kabla ya kuwa mkoa, wilaya hii ilikuwa mbali na makao makuu ya Mkoa wa Shinyanga, hivyo watu walikuwa wakiishi kama kuku wa kienyeji,” alisema Msangi.
Alisema yapo malalamiko mengi ya wananchi dhidi ya askari wa mkoa huo na kuahidi kuyashughulikia.

MAAJABU YA DUNIA; JAMAA AFANYA MAPENZI NA MAMA YAKE MZAZI

Aliyefunga Ndoa na Mama Yake Anena ' Mapenzi Anayonipa Mama Sijawahi Kupata, Msiingilie Mapenzi Yetu'

NewsImages/6580266.jpg
Bi Condorada Ngonyani akiwa na mumewe ambaye pia ni mwanae wa kumzaa
Mama aliyefunga ndoa na mwanae wa kumzaa wa kiume baada ya mumewe ambaye ndiye baba wa mtoto huyo kufariki amesema anawashangaa wanadamu kuingilia mapenzi yao huku mwanae akiwauliza watu mnatutakia nini kwenye mapenzi yetu? akiongeza kuwa mapenzi anayopata kwa mama yake hajawahi kuyapata.
Bi Condorada Ngonyani mwenye umri wa miaka 70 ambaye alifunga ndoa na mwanae wa kiume ameibuka na kusema anawashangaa watu wanaowasimanga kwa mapenzi yao moto moto kati yake na mwanae huyo wa kiume Bw. Joseph Mapunda.

Mama huyo na mwanae waliwekwa kitimoto na wanakijiji waliohoji mapenzi hayo haramu kati ya mama na mwanae. Tukio hilo la kuwaanika hadharani mama na mwanae liliandaliwa uongozi wa serikali ya mitaa.

Mama Condorada Ngonyani (70) mkazi wa mkoani Ruvuma, aliamua kufunga ndoa na mtoto wake wa tatu wa kiume wa kumzaa na kisha kuishi naye kinyumba kama mke na mume.

Wawili hao hawajutii kitendo chao na wameonekana kuona walichofanya ni sahihi na kuwashangaa wanadamu, majirani zao na jamii kwa ujumla kuingilia mapenzi yao.

Wananchi wapatao 400, wa mkoa wa Ruvuma walijitokeza kushuhudia kimbwanga hicho wakati uongozi wa Serikali ya mtaa walipoamua kuwafuatilia na kuwahoji na kuitisha mkutano wa wanakijiji na kuwaweka hadharani.

Wananchi wa mkoa wa Ruvuma wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Maendelo ya Jamii, Jinsia na watoto, kufuatilia kwa karibu suala hilo na kuwaondoa hofu wananchi kama kuna sheria inayomruhusu mtoto na mama Mzazi kuweza kuishi kindoa.

Alipohojiwa mama huyo, Condorada Ngonyani, alisema kuwa mara tu baada ya kufariki mume wake, Mzee Mapunda, yeye aliamua kumchagua mtoto wake huyo Joseph Mapunda, ili amrithi baba yake katika kuumiliki mwili wake kama ambavyo alikuwa akifanya Baba yake mzazi, ili kuondokana na tamaa na vishawishi wa kiulimwengu.

Alisema kuwa baada ya uteuzi huo walifunga ndoa ya kimila japo kuna baadhi ya wanafamilia hawakufurahishwa na tukio ama jambo hilo, lakini yeye aliamua kufunga masikio na kuamua kuvunja amri ya sita na mtoto wake huyo wa kumzaa.

Tukio hili ni mara ya kwanza kutokea kwa mkoa wa Ruvuma na hata kwa Tanzania nzima, ambapo wakazi wa Ruvuma wamekuwa wakibaki na maswali mengi juu ya tukio hilo na kuhoji jamii sasa inaelekea wapi kwa baadhi ya Watanzania kuibomoa wenyewe mila na desturi zetu.

Kwa upande wake, Joseph Mapunda, yeye anasema kuwa upendo na mahaba anayoyapata kutoka kwa mkewe huyo ambaye ni mama yake mzazi, hajawahi kuupata kokote na kusema kuwa wanapendana sana na wanaheshimiana kama mke na mume.

Josepha amehoji kulikoni wanadam kuwafuatilia katika mapenzi yao na kusema kuwa "hawa watu wanaotufuatilia hadi leo hii kutuweka hadharani namna hii, wanataka nini kwetu?".

Wananchi hao waliofurika kwa Mganga wa Jadi Flora Ndembo, wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, wameiomba Serikali kuingilia kati suala hilo na kuchukua hatua kisheria ili iwe fundisho kwa Watanzania wengine wenye akili kama hizo za kuharibu mila na desturi za kitanzania kirahisi kama hivyo

Jumanne, 21 Agosti 2012

MKOMBOZI WA TANZANIA TOKA MAKUCHA YA RUSHWA NI MTANZANIA MWENYEWE.

Nani ataikomboa Tanzania kwenye makucha ya rushwa?

Jenerali Ulimwengu.
HATA kwenye maandiko ya vitabu vitakatifu tunaambiwa kuwa, Mwenyezi Mungu baada ya uumbaji wa dunia alimweka Adamu na Hawa katika Bustani ya Edeni na kuwapa uhuru wa kula matunda yote katika  bustani ile isipokuwa matunda ya mti uliokuwepo katikati ya bustani.
Kwa wanaofuatilia maandiko ya dini wanafahamu kilichotokea. Hapa nchini kuna sheria na maneno mengi yanayowataka viongozi na raia wa kawaida kutojihusisha na vitendo vya rushwa.
Lakini ajabu ni kwamba hivi majuzi tumesikia shutuma nzito za vitendo vya rushwa zikitolewa ndani ya Bunge vikiwahusisha viongozi wa Kamati za Bunge hususan Kamati ya Nishati na Madini, Hesabu za Serikali za Mitaa na Hesabu ya Mashirika ya Umma.
Kiukweli  tunachokiona si cha ajabu, maana ni taswira ya mambo ambayo sisi kama jamii tumeyakubali, tumeyapokea na kuyafanya kuwa sehemu ya maisha yetu. Limekuwa ni jambo la kawaida mtumishi fulani kula rushwa na kujitajirisha harakaharaka na watu kumsifu kwamba eti ana akili sana!
Katika baadhi ya vitengo kama vile mahakamani, polisi, idara za ardhi au maliasili kama ambavyo iliwahi kuaninishwa na Tume ya Joseph Warioba, ulaji wa mlungula ni  tabia ambayo baada ya muda imegeuka na kuwa ‘mazoea’ na hatimaye kuwa haki.
Wanaofanya hivyo wanajiona wana haki ya kupewa rushwa, mahakamani mafaili yanafichwa na hata polisi, sehemu ambazo zilipaswa kuwa mstari wa mbele kutetea haki ya mtu.
Kila mtu pale alipo aiangalie jamii yetu na matendo yake nyakati hizi, naweza kusema kuwa tunaishi katika jamii ya watu wanaopenda rushwa, maana hata bei za bidhaa zipande kiasi gani hakuna mtu anayethubutu kusema kwa sauti kuwa tunalanguliwa!
Kwa kweli inasikitisha  zaidi kwa namna Watanzania na serikali yao wanavyoonekana kwa taswira ya rushwa. Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika uhai wake na uongozi wake alikemea kwa vitendo rushwa na kwa kiasi kikubwa alifanikiwa kupunguza vitendo vya rushwa nchini.
 Kwa msimamo huo huduma za jamii kama vile elimu ilikidhi haja kwani wanafunzi walikuwa wakifundishwa na kugawiwa madaftari na hata kalamu bure, afya- watu walikuwa wakitibiwa bure na dawa zilikuwa zikipatikana, barabara- zilijengwa japokuwa kasi haikuwa kubwa, maji safi na salama yaliwafikia wananchi wengi vijijini bila mizengwe yoyote.
Sifa ya nchi ya Tanzania hakika ilikuwa nzuri machoni mwa wananchi na nje ya nchi. Ilikuwa ni vigumu kuona kiongozi wa serikali au shirika la umma akijenga hekalu ambalo halilingani na mshahara au kipato chake.
Leo hii kiongozi anaweza kusema kwenye bajeti ya serikali kuwa jengo fulani la serikali halitajengwa kwa kuwa bajeti haitoshi lakini huyohuyo akanunua magari yake mawili ya kifahari na kujenga nyumba mbili au tatu. Utajiuliza fedha amepata wapi? Jibu ni rahisi, ni rushwa tu.
Bahati mbaya baada ya uongozi wa Mwalimu, dhambi ya rushwa ikaanza taratibu kutambaa ndani ya jamii na sasa imekuwa kubwa mithili ya kansa isiyotibika. Tunashuhudia rushwa waziwazi katika chaguzi ambapo hata baadhi ya wana habari wanatajwa kujihusisha na rushwa. Hii ni mbaya sana. Wakati mwingine uhitaji hata ushahidi, maana maandishi yao na vitendo vyao vinajionesha.
Nimpongeze mwanahabari mkongwe, Jenerali Twaha  Ulimwengu ambaye amewataka wanahabari na wananchi wa Tanzania, hususan wale wanaokerwa na vitendo vya rushwa kukusanya hasira na kukemea kwa nguvu vitendo vya rushwa nchini, namuunga mkono mia kwa mia.
Alisema kuwa, kimsingi huwezi kupigana na mtu au nchi kama huna hasira, vivyohivyo inatupasa kuwa na hasira ya kutosha kupambana na adui huyu aitwaye rushwa ambaye kwa hakika amesababisha mabilioni ya shilingi za walipa kodi kupotea na kuingia katika mifuko ya watu binafsi wasio na huruma na wenzao.
Niseme bila kumung’unya maneno kwamba kama rushwa itaachiwa isambae bila kupigwa vita kwa nguvu, itamaliza taifa, tutateketea.
Jipu limepasuka, siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli

Credits; www.globalpublisherstz.info

Jumapili, 19 Agosti 2012

JE, UNADHANI KAZI YAKO NI NGUMU KULIKO ZA WENGINE!? KUTANA NA DEVI LAL(43) WA INDIA ANAYEFANYA KAZI YA KUZIBUA MITARO YA MAJI MACHAFU KWA UJIRA TSHS 8,500/= TU KWA SIKU.

INAKADIRIWA WAZIBUAJI  10 HUFA KILA MWEZI KUTOKANA NA MADHARA YA KIAFYA YANAYOWAPATA KAZINI.

By Daniel Miller

If you think your job is the pits then spare a thought for Devi Lal.
The 'sewer diver' from Delhi, India, is paid a measly £3.50 a day to wallow in filth unclogging the city's drains.
Devi, 43, is provided with a bottle of bootleg booze to dull his senses before he begins his odious chore.
Dirty job: Manish Kumar, a sewer diver from Delhi is paid a measley £3.50 a day to unclog the city's filthy drains
Dirty job: Devi Lal, a sewer diver from Delhi is paid a measly £3.50 a day to unclog the city's filthy drains
Scandalously the city does not bother to provide protective clothing so Devi and his colleagues are forced to spend hours a day in the filthy water in just their underwear.
According to Harnam Singh, the chairman of the Delhi Safai Karamchari Commision, (Delhi cleaners commission) almost 70 per cent of the manual scavengers die on the job.
An estimated 61 sewer divers have died in last six months alone.
Scandalously City bosses do not provide protective clothing and Devi Lal, 43, is forced to work in hjust a pair of pants
Scandalously City bosses do not provide protective clothing and Devi, 43,  works in just a pair of pants
Wallowing in filth: Devi Lal, 43, works to unclog blocked drains in Delhi, India
Wallowing in filth: Devi Lal, 43, works to unclog blocked drains in Delhi, India
Even though India banned the practise in 1993, government agencies still use thousands of people like Dev to clean drains through out India
Even though India banned the practise in 1993, government agencies still use thousands of people like Dev to clean drains through out India
Even though India banned the practice in 1993, government agencies still use thousands of manual scavengers to clean drains through out India. 
India is one of the fastest growing economies in the world. But poverty remains widespread with an estimated 42.5 per cent of the children suffering from malnutrition.
According to 2010 data from the United Nations Development Programme, an estimated 37.2 per cent of Indians live below the national poverty line with 68.7 per cent surviving on less than $2 a day.
Earlier this week Indian Prime Minister Manmohan Singh announced his country will be spending £52 million on a space mission to Mars.
Tragic: An estimated 61 sewer divers have died in last six months alone
Tragic: An estimated 61 sewer divers have died in last six months alone

MAGAZETINI MALAWI; RAIS BANDA ASISITIZA ZIWA NYASA NI MALI YA MALAWI KWA ASILIMIA 100.

Tanzania President rejects war, JB insists whole lake belongs to Malawi


By Nyasa Times Reporter August 18, 2012   ·   34 Comments Email This Post Email This Post
Tanzanian President Jakaya Kikwete has categorically denied reports that his country is preparing to go to war with its neighbour, Malawi, because of a dispute over Lake Malawi, where a British- based company is exploring for oil.
Speaking to journalists  after a closed discussion with the Malawi President Mrs Joyce Banda in Maputo, Mozambique, the Tanzanian leader said the war mongering  comments were coming from overzealous opposition parties in his country who want to score political mileage over the issue.
“I am the Commander of the army. I have not issued any directive to my armed forces for war. So if it did not come from me, it is not true,” said Kikwete.
Diplomatic talks: Kikwete and Banda
There have been reports of war by the Tanzanian media that army tanks and forces have been patrolling the Tanzanian side of the lake.
Kikwete said his country has over the years enjoyed good relationship with Malawi and it has no intention to strain it in any way.
Dialogue
The Tanzanian leader who kept on referring to the Malawi President Banda as “my sister” said the two countries will use dialogue to resolve the issue.
The two countries have set up a working committee which will meet on August 20 in Mzuzu city, northern Malawi.
President Banda said she is hopeful that the border issue will be handled “diplomatically”.
She thanked President Kikwete for sparing time to discuss the matter, saying it had raised fears among people living along the lake.
Ownership
President Banda however maintained that the whole lake belongs to Malawi and former  Tanzanian leaders including Julius Nyerere and Benjamin Mkapa have both honoured the lake boundaries agreed upon in 1890 and reaffirmed after independence.
“Malawi owns 100 percent of the lake,” she said.
But Banda stressed that her government will continue to engage Tanzania into a diplomatic dialogue to resolve the border dispute amicably.
Since the wrangle began in July following Malawi’s prospecting for oil in Lake Malawi through an international firm, Surestream, there has been speculations of the two countries planning to go to war over who owns the African’s third largest lake.
But President Banda stressed that war between the two countries could never be the solution.
President Kikwete, however, said his government will leave the issue to the working technical committee of the two countries to get to its final conclusion.
Jokes
Meanwhile, during Southern Africa  Development Community (SADC) summit in Mozambique, Zambian President Micheal Sata interjected the chairperson’ speech to joke about the border dispute between Malawi and Tanzania.
When opening the summit earlier, Mozambican President Armando Guebuza said the regional bloc will also have to confront a brewing border conflict between Malawi and Tanzania.
But Sata saw an opportunity to joke.
“If they start fighting we are going to host the refugees,” he shouted from his seat.
Treaty
Malawi government’s stand on the matter is that Lake Malawi entirely belongs to the country as stipulated in the 1890 Heligoland Treaty, also known as Anglo-German Treaty, signed among the United Kingdom of Great Britain, Ireland and German concerning territorial interests in Africa.
According to the Malawi government, the Heligoland Treaty was also reinforced by both the 1963 Treaty and Agreement of the Organization of African Union (OAU) and its successor African Union (AU) in 2002 and 2007 that “member states should recognize and accept the borders that were inherited at the time of independence.”
President Kikwete and President Banda: Cordial relationship
President of Malawi and Tanzania with their foreign ministers and diplomats after the meeting in Maputo

TANZANIA NA MALAWI HAZINA MPANGO WA KUINGIA VITANI.

Rais Jakaya akiwa katika mazungumzo na Rais wa Malawi Joyce Banda wakati walipokutana nchini Msumbiji kwenye mkutano wa SADC
Tanzania haina nia wala mpango wa kuingia katika vita na nchi jirani
ya Malawi kufuatia tofauti zao kuhusu mpaka katika Ziwa Nyasa
Rais Jakaya Kikwete amesema hayo leo kufuatia mazungumzo baina yake na
Rais aw Malawi, mheshimiwa Joyce Banda.
“Namhakikishia dada yangu na watu wote wa Malawi kwamba hatuna nia
wala mpango wa kuingia vitani, hatuna matayarisho ya jeshi wala jeshi
halijasogea popote kwani hakuna sababu” amesema na kuongeza kuwa “Mimi
ndiye kamanda Mkuu wa Majeshi na sijapanga wala kutoa maelekezo ya
vita”.
Rais amesema hayo, mbele ya Rais Banda na kuongeza kuwa Kumekuwa na
sintofahamu ya muda mrefu kuhusu suala la mpaka na tayari maafisa aw
pande zote mbili wameshaanza kulizungumzia Kwa nia ya kulitatua Kwa
Amani.
“Tuviachie vyombo vyetu vifanye kazi, hebu tuvipe nafasi, wanasiasa na
waandishi wa habari wajiepushe na maneno haya yanayosababisha taharuki
na chokochoko, hayana maana yeyote tuachie diplomasia ifanye kazi
yake” Rais amesisitiza.
Naye Rais Banda amesema amefurahishwa na kufarijika baada ya
kuhakikishiwa kuwa hakuna vita na Rais Kikwete.
“Nimefarijika sana, swala hili limetusumbua sana, mpaka we Malawi wote
wakaungana na kuwa kitu kimoja na kuzuia tofauti zao” amesema na
kuvishukuru vyombo vya habari vya Malawi Kwa kuonyesha uzalendo na
ukomavu katika suala hili.
Rais Kikwete yuko Maputo, Msumbiji kuhudhuria kikao cha viongozi wa
Jumuiya Ya Maendeleo Kusini Kwa Afrika (SADC) uliofunguliwa tarehe 17
August, 2021 na unatarajiwa kumalizika leo jioni ( tarehe 18.august
2012)
Katika kikao cha Jana Tanzania imechukua uenyekiti wa Kamati ya Siasa,
Ulinzi na Usalama kutoka Afrika ya Kusini ambapo uenyekiti wa SADC
umechukuliwa na Msumbiji kutoka Angola, nafasi hizi ni za mwaka mmoja
mmoja Kwa zamu.
Rais Kikwete anatarajia kurejea nyumbani Mara baada ya kikao hiki.

Jumanne, 14 Agosti 2012

RAIS WA MALAWI KUKUTANA USO KWA USO NA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA SADCC.

Malawi President Joyce Banda leaves the country on Wednesday for Maputo, Mozambique for a SADC summit but Nyasa Times understands that she is also due to hold talks with Tanzania’s President Jakaya Mrisho Kikwete on the disputed border in Lake Malawi.
Mozambique hosts the 32nd Summit of Heads of State and Government of SADC in its capital city Maputo on August 17 and 18 which President Banda will attend.
SADC member states Angola (current chair), Botswana, the DRC, Lesotho, Madagascar (suspended), Malawi, Mauritius, Mozambique, Namibia, South Africa, Swaziland, Tanzania, Zambia and Zimbabwe are expected to  focus on hot-spots — Madagascar and the Democratic Republic of Congo.
On the sidelines of the summit,  Nyasa Timessources indicate that President Banda will meet Tanzania’s leader to hold “diplomatic talks” in a bid to ease tensions between the two countries.
President Banda heading to Maputo
Tanzania claims that 50 percent of the lake, which forms its border with Malawi, is part of its territory.
“There will be a meeting of our President and her Tanzanian counterpart in Maputo. This will be a high level diplomatic talks,” a source in the Malawi High Commission in Dar es Salaam said.
Another round of talks on ministerial level has been scheduled in the northern Malawian town of Mzuzu on August 20.
Tanzania demands Malawi to stop oil exploration in the northeast part of the lake to pave way for the ongoing discussions to resolve the crisis.
But Malawi Foreign Affairs Minister, Empraim Mganda Chiume, said the country will not halt exploration activities even in the face of war threats from Tanzania, saying the entire lake belongs to Malawi.
Last October, Malawi awarded oil exploration licences to UK-based Surestream Petroleum to search for oil in Lake Malawi
In Tanzania, the lake is called Lake Nyasa, which is taken from Malawi’s colonial name

Jumapili, 12 Agosti 2012

WAKIMBIAJI WA JAMAICA WAVUNJA REKODI YA DUNIA MBIO ZA META 100 VIJITI, BOLT NA BLAKE WASHEHEREKEA NIGHT CLUB.

    Usain Bolt started his partying with a 6am finish in central London.
    The Jamaican superstar, who won three gold medals at the London Olympics, began what is expected to be a string of nights out with a visit to Movida nightclub.
    Bolt was earlier spotted DJing at the Puma Yard bar on Brick Lane, east London, before heading into town.
     
    Heading home: Bolt and Blake were joined in their taxi home by a mystery blonde woman
    Heading home: Bolt and Blake were joined in their taxi home by a mystery blonde woman
    He was joined by his sprint rival and fellow countryman Yohan Blake to celebrate their stunning achievements at the Games.
    Bolt and Blake were part of the Jamaican line-up that broke the world record to claim the 4x100 metres relay crown at the Olympics Stadium on Saturday night.
    And after returning to the Olympics Village to freshen up after their heroics, the pair headed west into town to celebrate in style.
    All smiles: Yohan Blake is mobbed by fans outside the club Party time: Usain Bolt is pictured leaving Movida nightclub at 6am
    All smiles: Yohan Blake is mobbed by fans outside the club after enjoying a night out with Bolt
    Time for bed: Bolt was seen entering the cab with a girl Time for bed: Bolt was seen entering the cab with a girl
     
    Time for bed: Bolt was seen entering the cab with a girl after their night out at Movida
    They opted to head to celebrity haunt Movida to dance the night away and party goers were stunned when they walked in.
    Bolt and Blake clearly showed no sign of fatigue as they partied away until 6am.
    When they eventually left to head back to the Village, the sun was coming up over the capital. They were joined in their taxi back by a mystery blonde woman.
    Turn it up: Bolt on the decks
    Turn it up: Bolt on the decks
    Legend: Bolt got his groove on
    Legend: Bolt got his groove on
    DJ DJ: Usain Bolt and Manny Norte at The Puma Yard, Brick Lane
    DJ DJ: Usain Bolt and Manny Norte at The Puma Yard, Brick Lane
    After winning on Saturday night, Bolt was asked what he wanted to be doing in 10 years time. He replied: 'In 2022... hopefully just chilling somewhere. I just want to take it easy, maybe own a few businesses, I'm a lazy person I like to just chill out and always be relaxed.'
    He reiterated that it would he hard to do the treble treble in Rio in 2016, saying: 'Yohan is running hard and I'm sure there's going to be more young cats coming up.'
    The Caribbean quartet rocketed to a new world record time of 36.84sec. Blake joked: 'We are not human beings because no-one has ever run 36 - that is why we say we come from space. We drop from space like Mr Bean.'
    Record breakers: The Jamaican relay team of Bolt, Blake, Michael Frater and Nesta Carter
    Record breakers: The Jamaican relay team of Bolt, Blake, Michael Frater and Nesta Carter

    PAPAA MSOFE APANDISHWA KIZIMBANI KESI YA MAUAJI.


    MFANYABIASHARA wa Dar es Salaam, Abubakar Marijani (50) maarufu kwa jina la Papaa Msofe amepandishwa kizimbani akikabiliwa na shtaka la mauaji.
    Papaa Msofe alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

    Marijani Msoffe chini ya ulinzi wa Polisi.

    Akimsomea shtaka hilo, Wakili wa Serikali, Tumaini Kweka alidai kuwa Novemba 6, 2011, mshtakiwa alimuua mfanyabiashara wa madini, Onesphory Kituli.

    Tumaini alidai kuwa mauaji hayo aliyafanya nyumbani kwa marehemu Magomeni Mapipa, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
    Wakili Kweka alidai kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo kinyume cha Kifungu cha 196 cha Kanuni za Adhabu, Sura ya 19 kama ilivyorekebishwa mwaka 2002.

    Hata hivyo, mshtakiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo.
    Kesi hiyo inatazamiwa kuhamishiwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kusikilizwa baada ya upelelezi kukamilika.
    “Mshtakiwa hutakiwi kujibu chochote kwa kuwa mahakama hii haina uwezo wa kusikiliza mashauri ya mauaji,” alisema Hakimu wa Mahakama hiyo, Agnes Mchome baada ya Wakili Kweka kumaliza kumsomea shtaka hilo.

    Wakili Kweka alisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na akaiomba Mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa.
    Hakimu Mchome aliamuru mshtakiwa arudishwe mahabusu hadi Agosti 23, mwaka huu wakati kesi hiyo itakapotajwa tena mahakamani hapo kwa kuwa shtaka linalomkabili halina dhamana.

    Papaa Msofe alifikishwa mahakamani hapo jana saa 3:30 asubuhi kwa kutumia gari la Polisi aina ya Toyota Land Cruiser akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi watatu, wawili kati yao wakiwa na silaha. Kwa siku kadhaa, mfanyabiashara huyo alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Magomeni

    JOHN EVANS ATTA MILLS AMEZIKWA KWA HESHIMA JUZI HUKO GHANA.

    RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI.


    Shughuli mbalimbali za  mazishi za aliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills katika uwanja wa Independence Square jijini Accra jana Agosti 10, 2012

    Jumatano, 8 Agosti 2012

    HABARI TOKA MAGAZETI YA MALAWI LEO(NYASATIMES); TANZANIA YASHADADIA VITA NA MALAWI.

    Tanzania ‘warmongering’ with Malawi in border row


    By Nyasa Times Reporter August 8, 2012   ·   114 Comments

    Tanzania has warned that it will be prepared to go to war with Malawi on the ownership of Lake Malawi, also referred to as Lake Nyasa by some countries, thought to have oil deposits.
    The two countries have scheduled August 20,this year, in Mzuzu — the northern city of Malawi -for showdown talks  on the matter.
    Despite Malawi government saying it wants the matter to be handled diplomatically, some overzealous Tanzanian officials have been war-mongering .
    Tanzania’s chairman of the parliamentary committee for Defence, Security and Foreign Affairs, Edward Lowassa, is quoted by The Citizen, declaring:   “We expect this conflict will be solved diplomatically using the committee of foreign affairs ministers from both countries and using the mediator whenever needed. Malawi is our neighbour and therefore we would not like to go into war with it.”
    “However, if it reaches the war stage then we are ready to sacrifice our people’s blood and our military forces are committed in equipment and psychologically. Our army is among modern and stable defence forces in the world,” declared Lowassa.

    Lowassa: If it reaches the war stage then we are ready to sacrifice Tanzanian people’s blood
    There are reports that Tanzania has already sent troops to the border but that has not been independently verified.
    Malawi’s Foreign Affairs and International Cooperation Minister Ephraim Chiume  has since assured that “ this should not be a cause for anxiety or alarm.”
    Nonetheless, Tanzania minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Bernard Membe, has ordered Malawi to consider an immediate stop to all gas and oil prospecting activities on the portion of the  lake that falls on the Tanzania side.
    He told parliament  that the Tanzanian government was committed to ensuring that its people are protected “at any cost”.
    The conflict time line
    According to Chiume, the border between the two countries was defined in the Heligoland Treaty signed by the former colonial powers  Germany and Britain  on 1st July 1890.
    “The Heligoland Treaty defined the border between the two countries as being the edge of the waters on eastern shore of Lake Malawi.
    “Furthermore, the Heads of State and Government of the Organisation of African Unity (OAU) made a resolution in 1963 that member states should recognise and accept the borders that were inherited at the time of independence. The African Union (AU) made similar resolutions in 2002 and 2007,” said Chiume.
    But Tanzania’s Membe said the conflict started in the early 1960s, when the first Malawian president, Dr Hastings Kamuzu Banda, claimed that Lake Nyasa and the whole of Mbeya in Tanzania were part of Malawi using the 1890-Heligoland treaty.
    “But, talks about the matter stopped somewhere as Dr Kamuzu Banda had a relationship with South Africa and Tanzania was in support of South African freedom fighters,” Membe said.
    He said serious talks on the matter were revived in 2005, between President Jakaya Kikwete and the late Dr Bingu wa Mutharika, whereby a ministerial committee was appointed by both countries to solve the dispute over the border and the lake’s name.
    “The committee met in 2010 and 2012, whereby a number of issues were discussed including some of the aircraft claimed to belong to the oil and gas researching companies from Malawi flying in the Tanzania airspace,” he said.
    He told Parliament that Tanzania was interested to end the conflict through round-table discussions and to find a long-term solution.
    Tanzania wants 50 per cent share of the lake, but Malawi claims to own the whole of it.
    Malawi has awarded Surestream Petroleum  of UK a licence to prospect for oil on the lake

    TANZANIA IMEJIDHATITI KWA LOLOTE KUTOKANA NA CHOKOCHOKO ZA MALAWI KUHUSU ZIWA NYASSA.


    Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,Edward Lowassa
    Reginald Simon na Daniel Mjema, Dodoma
    KAMATI ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imesema Tanzania imejiandaa kiakili na kivifaa kuingia vitani na Malawi kama italazimika kufanya hivyo.Akizungumza mjini Dodoma jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Edward Lowassa alisema kamati yake imeridhishwa na maandalizi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

    “Tumepewa maelezo na jeshi letu na tumeridhika kuwa ikibidi kuingia vitani jeshi letu liko vizuri sana na limejipanga vizuri sana kwa uhakika, kiakili na kivifaa,” alisema Lowassa.

    Kabla ya Lowassa kuzungumza na waandishi wa habari, alifanya kikao cha faragha kilichohusisha pia wajumbe wa kamati hiyo na makamanda wa JWTZ walipofika bungeni kutoa taarifa kwa kamati hiyo.
    Hata hivyo, katika tamko hilo Lowassa alisema Tanzania inatarajia mgogoro huo utamalizika kwa njia za kidiplomasia kwa sababu Watanzania na Wamalawi ni ndugu wa muda mrefu.

    “Ikibidi kuingia vitani jeshi letu liko vizuri sana na kama ilivyo ahadi yao (JWTZ), wako tayari kulinda mipaka ya nchi yetu hadi tone la mwisho. Tunasali sana tusifike hapo,” alisema Lowassa na kuongeza: “Tunategemea hatutafika huko, lakini kwa heshima ya nchi yetu kama ikibidi kufika huko (vitani) tutafika kulinda mipaka yetu”.

    Mwenyekiti huyo ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu, alisema kama Tanzania itafikishwa mahali itabidi damu ya Watanzania imwagike, nchi iko tayari kulinda mipaka yake kwa nguvu.Alisema kama itabidi kuingia vitani, itatumia umoja na mshikamano wa Watanzania wa mwaka 1978 wakati wa Vita na Uganda kulinda mipaka ili kulinda heshima ya nchi.

    Alisema mwaka 1978 wakati Rais wa Uganda, Idd Amin na majeshi yake walipochukua sehemu ya Tanzania na kujitangazia ni mali yake, ilichukua hatua kumfukuza Amin.

    “Alijitangazia sehemu ile ni mali ya Uganda hutegemei nchi ikae kimya, hutegemei Watanzania wanyamaze wakati nchi yao imetekwa, tulichukua hatua tukamfukuza hadi nchini kwake.”
    Lowassa alisema Kamati ya Bunge inajua madhara ya kiuchumi yaliyotokana na Vita ya Idd Amin na kwamba vita yoyote ikipiganwa lazima kunakuwa na madhara ya kiuchumi.

    Hata hivyo, alisema anaamini mgogoro huo hautafika huko na kusisitiza kuwa, lakini ikibidi JWTZ ni moja kati ya majeshi bora duniani na ni jeshi lililojiandaa vizuri kwa lolote.
    “Wako tayari sisi ni moja kati ya jeshi lililojiandaa vizuri na jeshi bora duniani na la kujivunia. Tuko imara kiakili na kivifaa tena vya kisasa,” alisema Lowassa.

    Alisema kamati yake inaunga mkono msimamo ulitolewa bungeni juzi na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuhusu mgogoro huo na kwamba ndiyo kauli rasmi ya Serikali.
    Juzi, Waziri Membe alizionya kampuni za kigeni za Malawi zilizoingia katika ardhi ya Tanzania eneo la Ziwa Nyasa kutafiti mafuta na gesi kusitisha mara moja.

    Akiwasilisha makadirio ya wizara yake, Membe alisema upo ushahidi kuwa ndege tano za utafiti za Malawi ziliruka anga la Tanzania na kutua katika Ziwa Nyasa upande wa Tanzania.Membe alisema pamoja JWTZ kutoruhusu ndege hizo za Malawi kuingia na kutua eneo hilo la Ziwa Nyasa, bado ziliingia na kutua kinyume kabisa cha sheria za kimataifa.

    “Wenzetu wa Malawi wanadai Ziwa Nyasa lote lipo Malawi na msingi wa madai yao ni mkataba wa Heligoland wa mwaka 1890 na sisi tunasema mpaka uko katikati ya Ziwa.”

    Membe alisema hata mgogoro wa mpaka kati ya Cameroon na Nigeria ulitatuliwa na Mahakama Kuu ya Dunia kuwa mpaka baina ya nchi hizo mbili upite katikati ya Ziwa Chad.

    Juzi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi, Patrick Kabambe alikaririwa na Redio Sauti ya Ujerumani akisema wataendelea na utafutaji mafuta licha ya onyo hilo la Tanzania.

    Waziri huyo alisema ziwa hilo linaitwa Malawi na siyo Ziwa Nyasa na kwamba utafutaji wa mafuta na gesi utaendelea na hakuna wa kuwasimamisha. Alihoji, iweje Tanzania ishtuke sasa

    NAIBU WAZIRI AFRIKA MASHARIKI ABUDULLAH JUMA ANUSURIKA AJALINI


    Naibu Waziri wa Afrika Mashariki, Mhe. Abdullah J Abdallah, amenusuirika katika ajali ya gari leo jioni katika maeneo ya Tumbi - Kibaha wakati akitokea Bungeni Dodoma akielekea Dar. Ndani ya gari alikuwa pamoja na mkewe na watoto wake ambao wote wamepata majeraha madoho, dereva wake ameumia zaidi na hivyo kulazimika kukimbizwa katika hospitali ya Tumbi.
    Picha:  Abdulaziz

    Jumanne, 7 Agosti 2012

    JAMAA ATUMIA KUKAUSHA NGUO KWENYE MICROWAVE, MOTO WAWAKA.

    Huu ni Ushamba Au..

    NewsImages/6556166.jpg
    TMwanaume mmoja wa nchini Uingereza ametoa kali ya mwaka iliyosababisha moto mkubwa pale alipotumia microwave kukaushia viwalo vyake vya ndani na soksi zake.
    Zimamoto nchini Uingereza walilazimika kufanya kazi ya ziada kuuzima moto uliokuwa ukitishia kuiteketeza nyumba kutokana na moto uliosababishwa na microwave ambayo kawaida hutumika kupasha moto vyakula.

    Moto huo ulianza kutokana na kitendo kilichowashangaza watu wengi cha mwanaume mmoja ambaye jina lake limewekwa kapuni mkazi wa mji wa Weymouth uliopo kwenye ufukwe wa kusini magharibi mwa Uingereza.

    Mwanaume huyo alitumia microwave kukaushia chupi zake na soksi zake mbichi alizoziweka kwenye sahani ya microwave kwa nia ya kuzikausha kabla ya kuzivaa.

    Kikosi cha zimamoto cha Dorset kilichoitwa na majirani walioshtushwa na moshi mkubwa toka kwenye nyumba hiyo usiku wa jumatatu, kililazimika kufanya kazi ya ziada kumuokoa mwanaume huyo toka kwenye nyumba hiyo na pia kuuzima moto mkubwa uliozuka kutokana na microwave.

    "Ujumbe unaopatikana hapa ni kamwe usijaribu kuweka nguo za aina yeyote kwenye microwave au oven kwa nia ya kuzikausha", ilisema taarifa ya kikosi cha zimamoto cha Dorset

    Jumatatu, 6 Agosti 2012

    MBUNGE EMMANUEL NCHIMBI ATOA MSAADA WA GARI LA WAGONJWA SONGEA, NI KATIKA KUTIMIZA AHADI ZA KAMPENI 2010.


    Mh. Nchimbi, Mbunge wa Songea Mjini

    MBUNGE wa Jimbo la Songea mjini ,ambaye pia ni waziri wa mambo ya ndani Dkt.Emmanuel Nchimbi ametoa msaada wa gari lakubebea Wagonjwa lenye thamani ya zaidi ya shilingi 45 kwa ajili ya kusaidia wananchi wakiwemo wakina mama wajawazito.
    Akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM Wilaya ya Songea mjini jana kwenye ukumbi wa Songea club , Dkt Nchimbi alisema kuwa gari hilo ni sehemu ya ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni za kugombea ubunge wa jimbo hilo mwaka 2010 kwenye kata ya Lizabon.
    Amesema, amejipanga kuhakikisha wananchi wa Songea wanapata huduma bora zaidi na amewataka wanachama hao kuhakikisha wanaendelea kuhamasisha zaidi shughuli mbali mbali za maendeleo ili kuweza kurudisha heshima ya chama cha mapinduzi.
    Dkt. Nchimbi meseikitishwa na kitendo cha baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani ambao wamekuwa wakileta visingizio visivyokuwa na sababu za msingi kuwa wanatishiwa kuuwawa ili waweze kujipatia umaarufu.
    Amesema, niabu kwa mtu mzima kusingizia kuwa ametishiwa kuuwawa ili aweze kurudi katika chati za juu, kwani tayari wananchi wameshawashitukia na wamewadharau kutokana na uzushi wao hivyo amewataka wananchi kuendelea kufanya shuguli za maendeleo na kuwapuuza zaidi.
    “Kuna wakati watu walikata tamaa kutokana na chama kuonekana kuyumba lakini sasa, hali imerejea kama kawaida na chama kimezidi kuwa na umaarufu zaidi ,kutokana na wanachama wetu kuwa na imani nacho kama awali,”alisema Nchimbi

    Jumapili, 5 Agosti 2012

    POLISI WAHUSISHWA NA WIZI HUKO MBAGALA.

    Picha na Makataba.

     
    ASKARI wa Jeshi la Polisi kituo cha Mbagala, mwenye namba E 995 Koplo Robert (40), mkazi wa Kitunda, Dar es Salaam anashikiliwa kwa tuhuma za wizi wa kutumia silaha.

    Habari za uhakika zilizopatikana ndani ya jeshi hilo jana, zilidai kuwa Robert anashikiliwa pamoja na wanamgambo wawili, MG 505002 Bundala Magesa (48) na MG 558537 Ibrahim Majula (45).



    Ilidaiwa kuwa Agosti 3 saa 8 usiku maeneo ya Mikwambe, Mbagala wilayani Temeke, askari huyo pamoja na mgambo watatu akiwamo mwingine Ramadhan (marehemu) ambaye ubini wake haukujulikana mara moja, waliiba vitu mbalimbali nyumbani kwa Fadhili Said.

    Habari ziliendelea kudai kuwa vilivyoibwa ni chaja sita za simu, headphone moja, vifaa vya kuchomelea simu viwili, spana moja ya gari, kipimajoto kimoja na mkoba mdogo wa rangi ya pinki vikiwa ndani ya gari la askari huyo lenye namba T 106 BET aina ya Toyota Corolla rangi nyeusi.

    Hata hivyo kikisimulia tukio hilo, kilidai kuwa siku hiyo, askari huyo aliwafuata mgambo hao na kuwataka kwenda Mikwambe katika nyumba ya mkazi mmoja wa eneo hilo kwa lengo la kuiba ng’ombe wake wanane.

    Ilidaiwa kuwa walipokaribia eneo hilo, walifyatua baruti, wakati kikosi cha Ulinzi Shirikishi Jamii kikijiandaa kwenda kuanza doria na hivyo kikajipanga na kuwazingira askari hao, lakini wawili wakakimbia na kukamatwa baadaye.

    Lakini wakati wakikimbia, mmoja alikamatwa na walinzi hao na kumshambulia wakamwua na kumchoma moto, huyo ndiye aliyetambuliwa kwa jina moja la Ramadhani.

    Ilidaiwa kuwa Koplo Robert alipobanwa alijitambulisha kuwa ni askari polisi wa kituo cha Mbagala na ndipo uongozi wa kikosi hicho cha ulinzi shirikishi ulipowasiliana na viongozi wa kituo hicho ambao walifika eneo hilo na kumtambua kuwa ni askari wao.

    Chanzo hicho kililiambia gazeti hili, kwamba baada ya waliokimbia kukamatwa na kubaini mwenzao ameuawa, waliamua kuweka kila kitu hadharani, wakimtuhumu Koplo Robert kuwa ndiye aliyewapeleka huko.

    Kwa mujibu wa chanzo hicho, jalada namba MBL/RB/7431/12 limefunguliwa Mbagala kwa tuhuma za wizi wa kutumia silaha.

    Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, David Msime alipotafutwa kuzungumzia suala hilo, aliomba kupewa muda wa kufuatilia, akiahidi atafutwe baada ya nusu saa lakini hakuweza kupatikana tena kwa simu, kwani mara zote iliita bila ya kupokewa

    Ijumaa, 3 Agosti 2012

    MRISHO NGASSA AMEPOKELEWA KWA KISHINDO LEO HUKO MTAA WA MSIMBAZI.

    Mrisho Ngassa akikabidhiwa vifaa vya michezo kutoka kwa wanachama wa Simba SC.
    Ngassa akionyesha jezi aliyokabidhiwa na Simba SC.
    ...Akiwa katika pozi na wanachama wa Simba.…


    Mrisho Ngassa akikabidhiwa vifaa vya michezo kutoka kwa wanachama wa Simba SC.

    Ngassa akionyesha jezi aliyokabidhiwa na Simba SC.
    ...Akiwa katika pozi na wanachama wa Simba.
    Mashabiki wa Simba waliofika kumkaribisha Ngassa wakiwa na bango la kuwakejeli watani wao,mwenye bango ni shabiki maarufu wa Simba SC Hamis Kapopo wa Songea.

    Mashabiki wakimshangilia Ngassa anayeingia kwenye gari.

    ...Wakilisonga gari lake.

    Mashabiki wakimsindikiza Ngassa wakati akiondoka Makao Makuu ya Simba.
    MCHEZAJI mpya wa Simba, Mrisho Ngassa, leo amekabidhiwa jezi namba 16 atakayokuwa akiitumia kwenye klabu yake msimu huu.
    Ngassa alikabidhiwa jezi yake hiyo katika makao makuu ya Simba Mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam na Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange Kaburu.
    Kaburu alisema Simba inamkaribisha Ngassa kwa moyo mmoja na kwamba wapenzi wote wa Wekundu wa Msimbazi wana imani kubwa naye kwani uwezo wake mkubwa wa soka unafahamika ndani na nje ya nchi.
    "Tunashukuru kwamba tumekidhi vigezo vyote vilivyohitajika kwa ajili ya usajili wa mchezaji huyu. Tumeingia naye mkataba wa mwaka mmoja baada ya kumaliza muda wa mkopo wake kutoka Azam na ni imani yetu kwamba ujio wa Ngassa utaimarisha zaidi timu kwani yeye ni miongoni mwa wachezaji ambao Kocha Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic, anawapenda," alisema. 
    Akizungumza katika tukio hilo, Ngassa alisema amefurahi kusajiliwa na Simba kwani ni sawa na historia kujirudia, akikumbusha kwamba baba yake mzazi, Khalfan Ngassa, aliwahi kuwa mchezaji wa klabu katika miaka ya 1990.
    Kabla ya mkutano huo na waandishi wa habari, Ngassa alifanya mazoezi na wachezaji wenzake wa Simba katika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam ambako Simba inaendelea na mazoezi yake chini ya makocha Amatre Richard na James Kisaka.

    (PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL)

    KIKWETE ATIMIZA HAHDI YA KUWAFIDIA NG'OMBE WANANCHI WA MONDULI WALIOPOTEZA MIFUGO YAO KWA UKAME

    MH. KIKWETE AMEGAWA NG'OMBE KWA WANANCHI MONDULI LEO, ATAFANYA HIVYO KILA MWEZI KWA WILAYA TATU.


    Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa alipowasili katika kijiji cha Makuyuni,Wilayani Monduli kwa ajili ya kuzindua mpango wa kugawa ng'ombe 1500 kila mwezi kwa wananchi wa wilaya tatu za Mkoa wa Arusha kama kifuta jasho cha kupoteza kiasi cha mifugo 800,000 kutokana na ukame na athari zake mwaka 2008/2009.…

    Jumatano, 1 Agosti 2012

    AZAM WAKSIRISHWA NA KITENDO CHA NGASSA KUIBUSU NEMBO YA YANGA, ANAUZWA KWA YEYOTE ANAYEMUHITAJI.

     Ngassa milioni 80/- Awekwa sokoni na Azam Fc

    Mrisho Ngassa
    Uongozi wa klabu ya Azam ya jijini Dar es Salaam umesema kuwa umekasirishwa na kitendo cha kuibusu nembo ya klabu ya Yanga kilichoonyeshwa na mshambuliaji wake Mrisho Ngassa na kuongeza kwamba sasa uko tayari kumuuza mchezaji huyo kwa dola za Marekani 50,000 (Sh. milioni 80).

    Hatua hiyo ya Azam imekuja kufuatia nyota huyo kuonyesha wazi mapenzi yake kwa klabu yake hiyo ya zamani, ambayo ni bingwa wa soka wa Afrika Mashariki na Kati.

    Ngassa aliibusu nembo ya Yanga wakati akishangilia goli la pili alilofunga wakati timu yake ikicheza dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kushinda 2-1 katika mechi yao ya nusu fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).

    Azam imeeleza katika mtandao wake wa facebook kuwa, kitendo hicho (cha Ngassa) hakikuwa sahihi na watakuwa tayari kumuuza mchezaji huyo kwa kiasi hicho cha fedha kwa klabu yoyote ya ndani na nje ya Tanzania.

    Hata hivyo, hadi kufikia jana mchana, taarifa kutoka ndani ya Azam zimeeleza kuwa hakuna ofa yoyote waliyopokea kutoka Yanga, Simba au klabu nyingine, licha ya mshambuliaji huyo kutajwa hivi karibuni kuwa ni miongoni mwa nyota wanaotakiwa na timu hizo.

    Imeelezwa kuwa Ngassa amekuwa akionekana mara kadhaa ndani ya jengo la Yanga ambako huwafuata wachezaji Jerryson Tegete na Hamisi Kiiza ambao ndio marafiki zake wa karibu.

    "Hakuna chumba cha Ngassa kama inavyodaiwa, ila akija klabuni mara nyingi huwafuata Kiiza au Tegete na kwenda vyumbani kwao, vyumba vyote vina wachezaji ambao wanaichezea Yanga hivi sasa," alisema mmoja wa viongozi wa Yanga.

    Azam ambayo Jumamosi ilijiandikia rekodi kwa kufika fainali ya michuano iliyoshiriki kwa mara ya kwanza katika historia yake ya Kombe la Kagame, ilimaliza Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu uliomalizika ikiwa ya pili na hivyo mwakani itaiwakilisha nchi katika mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

    Ngassa ambaye aliwahi kwenda nje ya nchi kufanya majaribio na klabu ya Seattle Sounds ya Marekani, aliliambia gazeti hili juzi kwamba anajituma kila anapokuwa uwanjani na anaheshimu kazi yake.

    Nyota huyo ambaye pia anaichezea timu ya taifa (Taifa Stars) aliongeza kwamba anafahamu yuko Azam kikazi na ataendelea kuitumikia kwa sababu ilimsajili baada ya kuridhishwa na kiwango chake.
    Credits; Israel Saria
    Kocha wa Simba, Milovan Cirkovic, aliwahi kusema kwamba anamuhitaji Ngassa katika kikosi chake na amesikitishwa na uongozi kushindwa kumpata katika usajili wao msimu huu

    TUNDU LISSU AMEWATAJA WABUNGE WALA RUSHWA HADHARANI, NI WA CHAMA TAWALA CCM.


    Lissu awataja wabunge wala rushwa hadharani


    NewsImages/6551346.jpg
    MBUNGE WA SINGIDA Mashariki [Chadema], Tundu Lissu, jana alitaja majina ya wabunge saba wanaohusika na kashfa ya rushwa zinazohusisha Shirika la Umeme Tanzania [TANESCO].
    Lissu alitaja majina hayo mbele ya vyombo vya habari katika mkutano wake aliouitisha na wanahabari mjini Dodoma

    Katika kikao hicho mbunge huyo alithubutu kwa kujiamini kutaja majina hayo bila hata chembe ya uoga wabunge wote wanaohusika na rushwa kupitia shirika hilo

    Aliwataja wabunge hao wa CCM ambao wengi ni wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini bungeni ambayo kamati hiyo tayari imeshavunjwa na Spika. Anne Makinda.

    Alianza kwa kutaja Sara Msafiri [VitiMalum], Mariam Kisangi [Viti Maalum], Christopher Ole Sendeka [Simanjiro], Vicky Kamata [Viti Maalum] Bw. Yusuph Nassir [Korogwe Mjini], Bw. Charles Mwijage [Muleba Kaskazini] na Munde Tambwe [Viti Maalum] hao ni ambao kutoka Chama cha Mapinduzi [CCM].

    Katika orodha yake hiyo Lissu aliwatetea wabunge wengine kutoka CHADEMA ambao wako katika kamati hiyo kutoka CHADEMA, ambao ni John Mnyika [Ubungo], David Silinde [Mbozi Magharibi] na Mwanamrisho Taratibu Abama [Viti Maalum] kuwa hawahusiki kabisa katika kashfa hiyo.

    Katika taarifa yake hiyo alisema wabunge hao ndio chachu ya kuporomoka kwa Tanesco ambapo aliwataja mbunge Sara Msafiri na Munde Tambwe, wamekuwa wakipewa tenda ya kuiuzia matairi TANESCO

    Alifafanua mbunge Yusuph Nassir na Mariam Kisangi kuwa wanamiliki vituo vya mafuta hivyo na ndio mana wamekuwa wakipokea rushwa kwa mgongano wa kimasilahi kutoka Wizara ya Nishati.

    Alimuelezea Ole Sendeka kuwa, mbunge huyo amekuwa mtetezi namba moja kutetea Kampuni ya Orxy na Camel kwa kukosa tenda ya kuizuia mafuta IPTL kwa kudai ni vituo ambavyo vinafaa

    Amesema wabunge hao wote kwa pamoja wamekuwa wakipata manufaa kutoka shirika hilo

    Hivyo kupitia taarifa yake hiyo amemuomba Spika wa Bunge avunje kamati zote zinazotiliwa mashaka na utoaji wa rushwa

    Leo asubuhi mbunge Ole Sendeka amemuomba Spika ampe muongozo kuhusiana na tuhuma alizopewa na Lissu kuwa athibitishe kauli zake alizozitoa kupitia vyombo vya habari kumchafua kw watanzania